Ad Code

Responsive Advertisement

UPDATE: Je wajua?, wezesha sasa laini yako kuwa na offer za chuo bure.

Kama ulikuwa hujuwi sasa nakujuza. Ni kwamba ukiwa na laini ya Vodacom unauwezo wa kuifanya ikawa na offer za chuo na ukafurahia punguzo la bando kutoka vodacom.

Huhitaji kwenda Vodashop, bali kazi unaimaliza mwenyewe ukiwa na simu yako ya mkononi yenye uwezo wa  internet yaani (smartphone). Unahitaji kuwa na vitu vifatavyo

  1. Majina kamili uliyotumia kusajilia      laini yako yaani, Jina la ukoo       (surname) na jina lako la kwanza     (firstname) pamoja na jina la kati         (middle name) kama unalitumia.
  2. Namba ya kitambulisho cha chuo         "Student' ID No".
  3. Na mwisho ni chuo unachotokea.       Kukamilisha usajili wa laini yako ili iwe ya chuo bonyeza hapa. "Vodacom Kumenoga"
Reactions

Post a Comment

0 Comments

Ad Code

Responsive Advertisement