Mazoezi hayo ni ya muda tu hii nikutadhimini viwango vyao ambapo kwa baadae wakiweza kufanya vzuri katika mazoezi hayo huenda kwa siku za usoni wa kajiunga na Academy ya Man City. Hii ni neema kwa vijana wetu wa kitanzania wenye vipanji mabalimbali na huenda wakawa wakombozi wa baadae kwa timu ya Taifa stars ya hapa nchi. Kwa maaelezo zaidi tizma hio video kwenye YouTube ili uweze kupata stori nzima.
1 Comments
Vijana ndo watakao iokoa stars
ReplyDelete